Klabu ya Simba SC, leo imemtangaza rasmi kocha wake mpya, Roberto Oliveira kama kocha mkuu mpya wa klabu hiyo.
Oliveira, mwenye umri wa miaka 69, raia wa Brazil, amejiunga na klabu hiyo baada ya kuachana na waajiri wake wa zamani Vipers SC ya Uganda.
Post Views: 939
More Stories
ACT Wazalendo yapinga zuio la mikutano ya hadhara
Wananchi waendelea kunufaika na Ofa za TTCL Sabasaba
Prof. Rasheli apongeza shughuli za REA Sabasaba 2026