Klabu ya Simba SC, leo imemtangaza rasmi kocha wake mpya, Roberto Oliveira kama kocha mkuu mpya wa klabu hiyo.
Oliveira, mwenye umri wa miaka 69, raia wa Brazil, amejiunga na klabu hiyo baada ya kuachana na waajiri wake wa zamani Vipers SC ya Uganda.
Post Views: 974
More Stories
Mzizima Derby, vita ya alama, heshima na ubabe leo
Mradi wa Umeme Simiyu wafungua fursa, wachochea Uchumi
FCC yapongezwa kulinda walaji, kuchochea biashara