Klabu ya Simba SC, leo imemtangaza rasmi kocha wake mpya, Roberto Oliveira kama kocha mkuu mpya wa klabu hiyo.
Oliveira, mwenye umri wa miaka 69, raia wa Brazil, amejiunga na klabu hiyo baada ya kuachana na waajiri wake wa zamani Vipers SC ya Uganda.
Post Views: 902
More Stories
RC Shinyanga awaalika wananchi kupata msaada wa kisheria
Rais Dkt.Samia akutana na Drogba
Rais Ruto Aitambua Tanzania kama Kitovu cha Nishati Afrika Mashariki