Klabu ya Simba SC, leo imemtangaza rasmi kocha wake mpya, Roberto Oliveira kama kocha mkuu mpya wa klabu hiyo.
Oliveira, mwenye umri wa miaka 69, raia wa Brazil, amejiunga na klabu hiyo baada ya kuachana na waajiri wake wa zamani Vipers SC ya Uganda.
Post Views: 537
More Stories
Makonda aipongeza CRDB kuimarisha utalii kwa kutoa nyenzo za ulinzi
Serikali kutenga bajeti ya vyombo vya habari
Watoto 194 wapewa mimba ndani ya mwezi mmoja