Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online, Uturuki
CHUO Kikuu cha Ankara, kimemtunua Rais Samia Suluhu Hassan Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Uchumi kwa kutambua uongozi wake wa kipekee katika kuendeleza mageuzi ya kijamii, kisiasa na kiuchumi ambayo yameboresha ustawi wa jamii. Â
Rais Samia alitunukiwa shahada hiyo ya Heshima ya Udaktari (Honoris Causa) leo na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ankara nchini Uturuki, Profesa Necdet Unuvar kwenye hafla iliyofanyika Chuoni hapo jana.





More Stories
JKT yapokea matumizi nishati safi,yaipongeza TPDC
Uchorongaji visima vya gesi Mgawara neema kwa Wananchi
Tucta kuzindua kituo cha msaada kwa wafanyakazi wahamiaji Juni 11