Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online, Uturuki
CHUO Kikuu cha Ankara, kimemtunua Rais Samia Suluhu Hassan Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Uchumi kwa kutambua uongozi wake wa kipekee katika kuendeleza mageuzi ya kijamii, kisiasa na kiuchumi ambayo yameboresha ustawi wa jamii. Â
Rais Samia alitunukiwa shahada hiyo ya Heshima ya Udaktari (Honoris Causa) leo na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ankara nchini Uturuki, Profesa Necdet Unuvar kwenye hafla iliyofanyika Chuoni hapo jana.
More Stories
Mbunge aeleza athari za kutisha za mafuriko Ulanga
JKT yazindua Boti yake kuongeza tija katika ulinzi,uzalishaji
Majaliwa: Tutumie Mei Mosi kutathmini malengo