Na Mwandishi Wetu,TimesmajiraOnline,Dar
RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua, Christine Mwakatobe kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Mwakatobe alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji
Kiwanja cha ndege cha Kilimanjaro (KADCO)
Post Views: 755
More Stories
CHADEMA yakaribishwa kujifunza siasa kwa Kihongosi
Mtanda ahimiza uwiano kwenye michezo,masomo.
Wizara yasikitishwa na upotoshaji wa Bajeti 2026/27