Na Mwandishi Wetu,TimesmajiraOnline,Dar
RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua, Christine Mwakatobe kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Mwakatobe alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji
Kiwanja cha ndege cha Kilimanjaro (KADCO)
Post Views: 69
More Stories
Lushanga mbaroni tuhuma za kusababisha ajali
Mwanafunzi SAUT afa maji Ziwa Victoria
Dkt.Tulia awezesha vijana 20 Jijini Mbeya kupata ajira kupitia mafunzo ya Uanagenzi