Na Mwandishi Wetu,TimesmajiraOnline,Dar
RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua, Christine Mwakatobe kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Mwakatobe alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji
Kiwanja cha ndege cha Kilimanjaro (KADCO)
Post Views: 786
More Stories
TARI-Ukiriguru yaongeza tija kwa wakulima
EWURA yahamasisha uwekezaji vituo vya mafuta vijijini
NIRC yatangaza neema kwa Wakulima Nanenane