Na Mwandishi Wetu,TimesmajiraOnline,Dar
RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua, Christine Mwakatobe kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Mwakatobe alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji
Kiwanja cha ndege cha Kilimanjaro (KADCO)
Post Views: 794
More Stories
Ushetu yatoa zabuni za sh.90.48 kwa makundi Maalum
Kahama yatenga sh. bilioni 1.9 kwa zabuni za makundi maalum
Mhitimu asiyeona aeleza mafanikio ya useremala VETA