Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda(kulia), na aliyekuwa Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz (kushoto) wakipita katika mashine maalumu ya kitakasa mwili baada ya kukabidhi vifaa vya kupambana na COVID-19, makabidhiano hayo yalifanyika jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Prona Mumwi)
More Stories
Wadau waombwa kujitokeza kusaidia waathirika wa mafuriko
TAKUKURU kuzuia vitendo vya rushwa kwa elimu ya usimamizi,matumizi ya fedha za miradi ya maendeleo
TAKUKURU Mwanza yatupia macho miradi ya maendeleo ya thamani ya bilioni 6.1