Na Mwanadishi Wetu, TimesMajira Online, Zanzibar
MWANASIASA wa Zanzibar, Ibrahim Hassanali Raza, amechukua fomu za kuwania ubunge katika Jimbo la Kiembe Samaki.
Raza ambaye alikuwa mwakilishi aliyemaliza muda wake katika Jimbo la Kiembe Samaki amechukua fomu hiyo jana, JUlai 15 akiomba kuwania nafasi hiyo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
More Stories
CRDB yazindua matawi Majimoto, Ilula kuwahudumia wananchi
Rais Samia apongezwa kwa kuboresha huduma kwa wazee
JKT laita vijana wa kujitolea,latahadharisha wananchi dhidi ya matapeli