Na Mwanadishi Wetu, TimesMajira Online, Zanzibar
MWANASIASA wa Zanzibar, Ibrahim Hassanali Raza, amechukua fomu za kuwania ubunge katika Jimbo la Kiembe Samaki.
Raza ambaye alikuwa mwakilishi aliyemaliza muda wake katika Jimbo la Kiembe Samaki amechukua fomu hiyo jana, JUlai 15 akiomba kuwania nafasi hiyo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
More Stories
Pallangyo Ahoji Hatma ya Usambazaji Umeme REA kwa Vitongoji 37 Arumeru Mashariki
TASAC yatoa Elimu ya utunzaji mazingira
Gharama Kubwa za Tiba Magonjwa Makubwa Zatajwa Bungeni