Na Mwanadishi Wetu, TimesMajira Online, Zanzibar
MWANASIASA wa Zanzibar, Ibrahim Hassanali Raza, amechukua fomu za kuwania ubunge katika Jimbo la Kiembe Samaki.
Raza ambaye alikuwa mwakilishi aliyemaliza muda wake katika Jimbo la Kiembe Samaki amechukua fomu hiyo jana, JUlai 15 akiomba kuwania nafasi hiyo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
More Stories
Mgao wa tenda wa 30% kwa makundi Maalum ,wamkosha Rais Samia
Biteko ateta na Mtendaji Mkuu wa Rashal Energies, inayojenga Bomba la Gesi Kisemvule – Mbagala
Wananchi waaswa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha Daftari la Mpiga Kura