Na Mwanadishi Wetu, TimesMajira Online, Zanzibar
MWANASIASA wa Zanzibar, Ibrahim Hassanali Raza, amechukua fomu za kuwania ubunge katika Jimbo la Kiembe Samaki.
Raza ambaye alikuwa mwakilishi aliyemaliza muda wake katika Jimbo la Kiembe Samaki amechukua fomu hiyo jana, JUlai 15 akiomba kuwania nafasi hiyo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
More Stories
Majaliwa:Serikali imejipanga kukamilisha maandalizi michuano CHAN,AFCON
Uwekezaji ufanyike maporomoko ya maji Kalambo
Wanachi wahimizwa kusajili biashara,majina ya kampuni BRELA