Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Taifa ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Mwalimi Elias Iyo, (katikati) akiwa ameshikilia fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya kugombea Ubunge Jimbo la Babati Mjini katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020. Picha na Joyce Kasiki.
More Stories
Ubunifu wawekwa mbele katika mpango mpya wa Taifa
Ubunifu mwanafunzi UDOM kusaidia Walimu kazini
Teknolojia yarahisisha uendeshaji wa biashara ndogo