Na Mwanadishi Wetu, TimesMajira Online, Zanzibar
MWANASIASA wa Zanzibar, Ibrahim Hassanali Raza, amechukua fomu za kuwania ubunge katika Jimbo la Kiembe Samaki.
Raza ambaye alikuwa mwakilishi aliyemaliza muda wake katika Jimbo la Kiembe Samaki amechukua fomu hiyo jana, JUlai 15 akiomba kuwania nafasi hiyo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

More Stories
Dkt. afo awapambania Maafisa Maendeleo ya Jamii
Serikali yaweka wazi mpango viwanda vya parachichi Lupembe
Ubunifu wa Viwanda wazalisha ajira 220 Arusha