April 29, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

LOS ANGELES, CA - APRIL 01: Indiana Pacers head coach Nate McMillan is stunned by a call during an NBA game between the Indiana Pacers and the Los Angeles Clippers on April 1, 2018 at STAPLES Center in Los Angeles, CA. (Photo by Brian Rothmuller/Icon Sportswire)

Rasmi Nate McMillan kushika mikoba Hawks

ATLANTA,Marekani

MSIMAMIZI mkuu wa timu ya Kikapu ya Hawks Atlanta

Schlenk, ameamua kumpa ukocha mkuu Nate McMillan baada ya kufikia makubaliano kufuatia timu hiyo kufanya vyema msimu huu wa Ligi Kuu ya Kikapu Marekani NBA, na kufanikiwa kutinga hatua ya fainali.

Mpango huo umekuja, baada ya McMillan,kuiongoza timu hiyo kutinga fainali huku

Schlenk akisema makubaliano yalifikia muahafaka mapema na kocha huyo huyo kukubali kuiongoza Hawks katika mchezo wa fainali utakaopigwa kesho Jumatano pamoja na kuimarisa kikosi msimu ujao.

McMillan, mwenye umri wa miaka 56, aliteuliwa kuwa kocha wa mpito baada ya Lloyd

Pierce alipofutwa kazi wakati timu hiyo ilipokuwa na rekodi ya 14-20. Hawks walifurahia mabadiliko ya mara moja chini ya McMillan.