

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akitembelea eneo la Mradi wa Ujenzi wa Kiwanda cha Mwani Chamanangwe Wilaya ya Wete Pemba na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe.Balozi Amina Salum Ali na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Omar Khamis Othman. Picha na Ikulu

More Stories
Ubunifu wawekwa mbele katika mpango mpya wa Taifa
Ubunifu mwanafunzi UDOM kusaidia Walimu kazini
Teknolojia yarahisisha uendeshaji wa biashara ndogo