

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akitembelea eneo la Mradi wa Ujenzi wa Kiwanda cha Mwani Chamanangwe Wilaya ya Wete Pemba na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe.Balozi Amina Salum Ali na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Omar Khamis Othman. Picha na Ikulu

More Stories
Wizara,TPSF kuongeza ushiriki kongamano la kiswahili
Mmuya awasili Zimbabwe kuhudhuria mkutano wa Maafa
AI kutumika kukabiliana na maafa nchini