

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akitembelea eneo la Mradi wa Ujenzi wa Kiwanda cha Mwani Chamanangwe Wilaya ya Wete Pemba na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe.Balozi Amina Salum Ali na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Omar Khamis Othman. Picha na Ikulu

More Stories
Ubunifu wa Viwanda wazalisha ajira 220 Arusha
Serikali yaongeza mapambano dhidi ya Lumbesa Nchini
TIRDO kuboreshwa kuchochea mapinduzi ya Viwanda