Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.
Ali Mohamed Shein, akitembelea eneo la Mradi wa Ujenzi wa Kiwanda cha
Mwani Chamanangwe Wilaya ya Wete Pemba na (kushoto kwa Rais) Waziri wa
Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe.Balozi Amina Salum Ali na Mkuu wa Mkoa
wa Kaskazini Pemba Omar Khamis Othman. Picha na Ikulu
More Stories
Dkt.Yonanzi:Nyumba zinazojengwa Hanang’ ziwekwe anwani za makazi
DC aeleza umuhimu wa mafunzo ya JKT
JKT yazindua Boti yake kuongeza tija katika ulinzi,uzalishaji