

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akitembelea eneo la Mradi wa Ujenzi wa Kiwanda cha Mwani Chamanangwe Wilaya ya Wete Pemba na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe.Balozi Amina Salum Ali na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Omar Khamis Othman. Picha na Ikulu
More Stories
Serikali ,Washirika wa Maendeleo waweka mkakati utekelezaji Dira ya 2050
Benki ya Exim yazindua suluhisho la malipo ya kisasa kwenye Z- Summit 2025
DCEA yateketeza zaidi ya ekari 300 za bangi