Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt,Samia Suluhu Hassan leo August 02,2024 ameanza Ziara ya Kikazi Mkoani Morogoro ambapo mapema asubuhi amezindua Hospitali ya Wilaya ya Gairo Mkoani humo ambayo ujenzi wake umegharimu Shilingi Bilioni 4.8.






More Stories
Yas yaongeza kasi kuchochea uchumi wa buluu Zanzibar
Serikali yasisitiza Sayansi ,Teknolojia kufanikisha Dira 2050
Prof.Mnyone apongeza ubunifu VETA kusaidia wananchi