Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt,Samia Suluhu Hassan leo August 02,2024 ameanza Ziara ya Kikazi Mkoani Morogoro ambapo mapema asubuhi amezindua Hospitali ya Wilaya ya Gairo Mkoani humo ambayo ujenzi wake umegharimu Shilingi Bilioni 4.8.






More Stories
CCM yakemea vitendo vya ubakaji,ulawiti,ushoga
Dkt.Nchimbi atembelea Banda la REA
Ileje yatangaza kibano wasio na vyoo bora