Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Rais Samia Suluhu Hassan amefika Wilaya ya Nyasa kwa takribani zaidi ya miaka 14 hakuna Rais aliyewahi kukanyaga huku.
Rais Samia amefika pasipofika kwa kuwajengea barabara na huduma za maendeleo.
Post Views: 507
More Stories
‎JKT yafunga rasmi mafunzo ya vijana kundi
Wadau watakiwa kuwashirikisha vijana Programu ya afya
Namtumbo wahimizwa kutumia nishati safi ya kupikia