Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua, Hamza S. Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Dkt. Samia amemeteua Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali tarehe 3 Novemba, 2025.Aidha, taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi imesema kuwa Mhe. Johari ataapishwa tarehe 5 Novemba, 2025 saa nne Asubuhi Ikulu Chamwino, Jijini Dodoma.

More Stories
Milioni 299 kutumika kujenga ofisi za kata
Mtanda asisitiza matumizi ya takwimu serikalini
Maofisa Habari watakiwa kuhabarisha taarifa sahihi