Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua, Hamza S. Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Dkt. Samia amemeteua Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali tarehe 3 Novemba, 2025.Aidha, taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi imesema kuwa Mhe. Johari ataapishwa tarehe 5 Novemba, 2025 saa nne Asubuhi Ikulu Chamwino, Jijini Dodoma.

More Stories
Maboresho sheria yaongeza ushiriki wa watanzania kwenye migodi
Wizara ya Afya yatoa elimu elekezi huduma za afya
Prof.Kabudi:Tumepiga hatua utoaji huduma za Afya