Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua, Hamza S. Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Dkt. Samia amemeteua Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali tarehe 3 Novemba, 2025.Aidha, taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi imesema kuwa Mhe. Johari ataapishwa tarehe 5 Novemba, 2025 saa nne Asubuhi Ikulu Chamwino, Jijini Dodoma.

More Stories
Wizara,TPSF kuongeza ushiriki kongamano la kiswahili
Prof.Mbawara:TMA yakamilisha ufungaji wa mitambo miwili ya uangazi wa hali ya hewaÂ
PBPA yapongezwa kwa usimamizi wa upatikanaji wa Mafuta nchini