May 3, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Rais Samia akutana na kufanya mazungumzo na Papa Francis

Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo amekutana na Papa Francis, Vatican na kufanya mazungumzo ya pamoja, huku wakijadili mambo mbalimbali.