Rais Samia Suluhu Hassan, akifungua Kikao cha kazi kwa ajili ya Tathmini ya mwaka mmoja 2020-21 kwa Maafisa Mbalimbali wa Jeshi la Polisi nchini, leo Agosti 25,2021 katika Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay Jijini Dar es salaam. Rais Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Maofisa wa Jeshi la Polisi Wanawake muda mfupi baada ya kufungua Kikao cha kazi kwa ajili ya Tathmini ya mwaka mmoja 2020-21 kwa Maafisa Mbalimbali wa Jeshi la Polisi nchini, leo Agosti 25,2021 katika Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay Jijini Dar es salaam. Rais Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha ya pamoja na Maofisa wa Jeshi la Polisi muda mfupi baada ya kufungua Kikao cha kazi kwa ajili ya Tathmini ya mwaka mmoja 2020-21 kwa Maafisa Mbalimbali wa Jeshi la Polisi nchini, leo Agosti 25,2021 katika Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay Jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU. Post Views: 662 Continue Reading Previous Wananchi Lukobe, Dkt.Angeline wapongezwa ujenzi madarasa 6Next Matunda ya ufadhili wa Kampuni ya GGML katika picha More Stories 1 min read Habari Watahiniwa 877 Ilemela waanza mtihani kidato cha sita May 6, 2024 Judith Ferdnand 2 min read Habari Halmashauri Jiji la Mbeya yamkabidhi magari mawili Mkandarasi mshauri wa mradi May 6, 2024 zena chitwanga 2 min read Habari Kampuni zaja na bima ya mahusiano May 6, 2024 Iddy Lugendo
More Stories
Watahiniwa 877 Ilemela waanza mtihani kidato cha sita
Halmashauri Jiji la Mbeya yamkabidhi magari mawili Mkandarasi mshauri wa mradi
Kampuni zaja na bima ya mahusiano