


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa Burundi Mheshimiwa Evariste Ndayishimiye wakifurahia mara baada ya pamoja kufungua jengo la Mahakama Kuu Kanda ya Kigoma leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akizungumza jambo na mgeni wake Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye wakati akimtambulisha kwa baadhi ya Mawaziri wa Tanzania katika uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma leo. Picha zote na Ikulu



More Stories
Kapinga amwezesha mwenye ulemavu Mashine kusaga viungo
TCAA yaimarisha dawati huduma kwa Wateja
Mwalimu VETA abuni vifaa kusaidia afya na elimu