


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa Burundi Mheshimiwa Evariste Ndayishimiye wakifurahia mara baada ya pamoja kufungua jengo la Mahakama Kuu Kanda ya Kigoma leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akizungumza jambo na mgeni wake Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye wakati akimtambulisha kwa baadhi ya Mawaziri wa Tanzania katika uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma leo. Picha zote na Ikulu



More Stories
Serikali yajipanga kuwa rafiki wa biashara
Wananchi Wahimizwa Kutafuta Ushauri wa Kisaikolojia kwa Wataalamu
Kihongosi amuita Msigwa Kanjanja wa Siasa