Na Zena Mohamed,Timesmajiraonline,Dodoma WADAU na Wanahisa wa Benki ya Ushirika Kilimanjaro(KCBL) kukutana kesho jijini Dodoma katika mkutano Mkuu wa 27...
Na George Mwigulu,Timesmajiraonline “IPO mifumo ya kufuatilia rushwa wakati wa uchaguzi mgombea yeyote atakayetoa, Jina lake litakatwa” Hii ni kauli...
Na Reuben Kagaruki, TimesmajiraOnline Arusha KATI ya vikwazo vinavyosababisha watoto wengi wa Tanzania kutofikia ndoto zao za kupata elimu ni...
Na Mwandishi wetu ,Timesmajira Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI) imewasisitiza Watanzania kuchangamkia fursa zilizopo katika sekta ya Misitu...
Na Mwandishi Wetu,Timesmajiraonline,Njombe CHAMA cha Mapinduzi (CCM) pamoja na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe wameupongeza Wakala ya Barabara...
Na Israel Mwaisaka, Timesmajira Online,Nkasi Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Charles Makongoro Nyerere amewataka Wananchi wa Kata za Kipili, Kirando...
Na Yusuph Mussa,Timesmajiraonline,Bumbuli BAADHI ya wanawake wa Halmashauri ya Bumbuli wamesema wameanza kunufaika baada ya mbegu za nyanya na mahindi...
Na George Mwigulu,Timesmajiraonline, Katavii. BODI ya Tumbaku Tanzania imemshukuru Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kukuza sekta ya kilimo hapa nchini...
Na Moses Ng'wat, Songwe. MKUU wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo, amewataka wanawake kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za...
Na Zena Mohamed,Timesmajiraonline,Dodoma IMEELEZWA kuwa watu wapatao milioni 296 duniani wanaishi na maambukizi sugu ya Virusi vya Homa ya Ini...
