Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, leo Februari 19, 2023 amefika na kumjulia hali Mwakilishi Mstaafu wa Jimbo la Uzini – Unguja, Mohammed Raza Hassanali, huko Nyumbani kwake, Ali Abass Tower, Jengo lililopo katika Mtaa wa Hazrat Abass, Kata ya Kisutu, Mkoa wa Dar es Salaam.

Katika ziara hiyo, Othman ameambatana na Mke wake, Mama Zainab Kombo Shaib, baadhi ya Watendaji na Maafisa kutoka Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.












More Stories
WMA yatahadhari wanaochezea mizani
Wafanyabiashara watakiwa kupanua biashara zao
Bandari ya Dar yazidi kung’ara