Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
NIC Insurance imekabidhi hundi ya shilingi milioni 40 kwa Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Mohamedi Mchengerwa ikiwa ni zawadi na motisha kwa wachezaji wa timu ya Serengeti Girls kufika hatua ya nusu fainali kwenye michuano ya kombe la dunia nchini India.
More Stories
Waziri Mkuu ataka Mbeya Tulia Marathon kuongeza wigo
Tigo washiriki Tulia Marathon 2024
Ramadhani Brothers wafikisha Tuzo ya AGT Mbuga ya Serengeti