Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online




Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Watu Wenye Ulemavu Mhe. ummy Nderiananga akutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe.Rashid Hadidi Rashid mapema hii leo Januari 06, 2022 Zanzibar.
Lengo la ziara hiyo ni kujionea utekelezaji wa shughuli za Watu wenye ulemavu Mkoani hapo.
More Stories
Kiongozi wa Mwenge apongeza wananchi kupelekewa huduma ya maji Handeni
TFS yawakaribisha wawekezaji katika vivutio vya utalii wa misitu
Waziri Bashungwa:Tumieni teknolojia za kisasa kudhibiti uhalifu unaovuka mipaka