Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi Ridhiwani Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Maafisa Ardhi na kuwakumbusha kutimiza wajibu katika utendaji kazi

“Baada ya ufungaji wa Mafunzo ya Wakufunzi wa Sensa ya Watu na Makazi yaliyofanyika Chuo Cha Mkwawa, Iringa nilipata nafasi kuzungumza na Maafisa Ardhi wa Mkoa wa Iringa na Manispaa ya Iringa. Lengo ni kujadili hali ya Kazi na kukumbushana Wajibu wa kila mmoja katika Utendaji.” Amesema Mhe. Ridhiwani

More Stories
Milioni 299 kutumika kujenga ofisi za kata
Mtanda asisitiza matumizi ya takwimu serikalini
Maofisa Habari watakiwa kuhabarisha taarifa sahihi