PICHA ZOTE NA MPIGAPICHA WETU
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Jumanne Sagini, leo Februari 25, 2024 amewatembelea na kuwajulia hali majeruhi wa ajali katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Arusha Mount Meru Arusha ambapo iliyohusisha Lori na magari mengine matatu na kupelekea vifo 25 na majeruhi 21.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Jumanne Sagini, leo Februari 25, 2024 amefika eneo la ajali iliyohusisha lori na magari mengine matatu katika eneo la by PASS Ngaramtoni Jijini Arusha nakupelekea vifo ishirini na tano 25.
More Stories
Madaktari 1,109 kunufaika na ufadhili wa Rais Samia katika masomo ya ubingwa bobezi 2023/24
Kimbunga “HIDAYA”chazidi kuimarika
DC aeleza umuhimu wa mafunzo ya JKT