Na Heri Shaaban, Timesmajira Online -Mwanza
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa UVCCM Mtaa wa Rada Kata ya Majohe,Fatuma Akhim,ajitosa kuchukua fomu kugombea nafasi ya Udiwani wa Viti Maalum Wanawake wilaya ya Ilala.
Akizungumza na waandishi wa habari,mara baada ya kuchukua fomu,Akhim, amesema,amejiona anatosha kuwatumikia wanawake wa Wilaya ya Ilala.
“Nimekuwa kiongozi wa Umoja wa Vijana kwa vipindi tofauti, pia nimekuwa Katibu wa kupinga ukatili kwa muda mrefu,sasa nimejipima naona natosha kushika wadhifa huo,”.

More Stories
Silinde azindua baraza la sita la Wafanyakazi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji
NMB ilivyosaidia Serikali kukusanya zaidi ya Sh trilioni 9.8
Serikali yaongeza nguvu kwa wachimbaji wadogo,yasisitiza usalama Migodini