Na.Mwandishi wetu,Timesmajira
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amewaongoza Viongozi mbalimbali wa Serikali katika Hafla ya makabidhiano na uzinduzi wa Boti mbili kwa ajili ya doria katika Bahari na Maziwa makuu.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Hamza Johari amehudhuria hafla hiyo iliyofanyika katika Viwanja vya Bandari Jijini Dar es Salaam, tarehe 31 Julai, 2026.
Boti hizo mpya ni PB Sailfish 02, na PB Sailfish 03, za doria zitasaidia kuimarisha ulinzi wa bahari na maziwa makuu nchini.



More Stories
Twange awataka wanasheria wa Tanesco kusimamia Maadili na Taaluma
Mchange ahoji Dkt.Nchimbi anajua madhara ya kauli zake
RC akabidhi magari matatu kwa Katibu Tawala