Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Hamza Johari ameshiriki katika kikao cha wadau wa Mahakama kilichofanyika tarehe 22 Januari, 2026 Jijini Dodoma.
Kikao hicho kilichoongozwa na Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania George Masaju kililenga katika kujadiliana juu ya uboreshaji wa utoaji wa huduma za Mahakama na Sekta ya Sheria kwa ujumla



More Stories
Mifumo miwili yazinduliwa kilele wiki ya Utumishi
Kampuni za Algeria zasaka wabia wa biashara nchini
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu, yasogeza huduma kwa wananchi