Na Agnes Alcardo, Timesmajira Online TV, Dar es Salaam
MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amezindua rasmi maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja 2023, katika hafla iliyofanyika katika Tawi la Azikiwe Jijini Dar es Salaam, wakati akiwa mgeni rasmi katika hafla hiyo.

Aidha, Mpogolo ameipongeza Benki ya CRDB kwa kuwa kinara katika kuchochea maendeleo ya kiuchumi kwa jamii, kupitia huduma wanazotoa kwa wateja wake.
Kwa Upande wake, Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja, Yoranda Ulio, amesema kuwa, katika maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja, kutaifanya benk hiyo kutambulika zaidi.


More Stories
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
Mwenge wazindua jengo lenye thamani ya bil 3.4
Mavunde kuwa mgeni rasmi LCCF 2026