Na Mwandishi wetu,Timesmajira
MKURUGENZI Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji nchini (NIRC), Raymond Mndolwa (mwenye suti nyeusi) akiwa Mkuu wa Kitengo Cha Habari na Mawasiliano (NIRC), Mariam Mziwanda pamoja na waandishi wa habari katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Iringa kuwaona na kuwapa pole wanahabari waliopata ajali jana wakitokea kazini Idodi katika Maadhimisho ya Miaka 49 ya Chama Cha Mapinduz (CCM)





More Stories
OUT Yaweka Ubunifu Msingi wa Elimu Huria Mtandaoni
Nmb yaunga mkono afya ya Watumishi kupitia Shimisemita
Ushetu yatoa zabuni za sh.90.48 kwa makundi Maalum