Na Mwandishi Wetu TimesMajira Online
MKUU wa Mkoa wa Mara Ally Hapi amewaapisha Wakuu wa Wilaya walioteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Miongoni mwa waliopishwa ni Juma Issa Chikoka maarufu kama Mchopanga kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rorya, Joshua Nassari kuwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Dkt. Viccent Mashinji kuwa DC Serengeti.
More Stories
Kauli ya Rais Samia yawaibua watoto wa Jenerali Kiwelu
Waziri Chana asisitiza ajenda ya kulinda wananchi dhidi ya wanyamapori wakali
Kapinga :Baada ya kumaliza kazi ya kupeleka umeme vijijini sasa kasi inahamia vitongojini