Na Mwandishi Wetu TimesMajira Online
MKUU wa Mkoa wa Mara Ally Hapi amewaapisha Wakuu wa Wilaya walioteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Miongoni mwa waliopishwa ni Juma Issa Chikoka maarufu kama Mchopanga kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rorya, Joshua Nassari kuwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Dkt. Viccent Mashinji kuwa DC Serengeti.
More Stories
Wananchi Vunjo watatua kero ya barabara,wataka zahanati yao
PPRA yawanoa watumishi upekuzi wa mikataba na majadiliano NeST
Lukuvi alitaka Baraza Ofisi ya Waziri Mkuu kuelimisha watumishi wengine