Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
MKUU wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge, amemuapisha Nickson Simon maarufu kama ‘Nikki wa Pili’ kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe akichukua nafasi ya Jokate Mwegelo ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke.
Zoezi la kuapishwa limefanyika leo kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani iliyopo Kibaha.

More Stories
Rais Samia asifu juhudi za Nishati Safi ya Kupikia
Gereza kwamngumi lamkabidhi aliyekuwa mfungwa vifaa vya ujenzi
FCC yaongeza mkakati kudhibiti bidhaa bandia