Na Mwandishi Wetu TimesMajira Online
MKUU wa Mkoa wa Mara Ally Hapi amewaapisha Wakuu wa Wilaya walioteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Miongoni mwa waliopishwa ni Juma Issa Chikoka maarufu kama Mchopanga kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rorya, Joshua Nassari kuwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Dkt. Viccent Mashinji kuwa DC Serengeti.

More Stories
ALAF yaweka rekodi mpya kwenye tuzo za PMAYA
Makamba:Mradi Mpomvu,GGM kuimarisha upatikanaji umeme Geita
Aweka shahada kando,ageuza ngozi kuwa ajira