Na Mwandishi Wetu TimesMajira Online
MKUU wa Mkoa wa Mara Ally Hapi amewaapisha Wakuu wa Wilaya walioteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Miongoni mwa waliopishwa ni Juma Issa Chikoka maarufu kama Mchopanga kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rorya, Joshua Nassari kuwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Dkt. Viccent Mashinji kuwa DC Serengeti.

More Stories
Madaktari Mloganzila wanufaika na mafunzo maalum ya tiba za mifupa
Mwanasheria Mkuu wa Serikali,Simbu kung’ara Mbio za Wakili Marathon 2026
CCM yatoa salamu nzito kwa Samia-Butiama