Binti raia wa Syria akiwapa maua askari wa Jeshi la Marekani baada ya kutua eneo la Kaskazini Mashariki mwa Syria karibu na mji wa al-Malikiyah (Derik) kwa ajili ya kufaya doria katika miji inayokaliwa na Wakurdish karibu na mpaka wa Uturuki juzi. Vita vinavyoendelea nchini humo vimesababisha maelfu kupoteza maisha, makazi na wengine kuyakimbia makazi yao. (Picha na AFP).
More Stories
Mwenyekiti ACT-Wazalendo akutana na viongozi wa chama hicho taifa
Othman ashiriki kikao kamati kuu ACT-Wazalendo
Azaki zaungana kutoa msimamo wa pamoja katika mkutano wa COP27