Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina akiwapungia wananchi alipowasili kwenye uwanja wa michezo wa Barea uliopo Mahamasina kuapishwa kuwa Rais wa nchi hiyo kwa kipindi cha tatu,Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi katika sherehe za kumwapisha Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina zilizofanyika kwenye uwanja wa michezo wa  Barea uliopo Mahamasina,Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi katika sherehe za kumwapisha Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina wa Madagascar   zilizofanyika kwenye uwanja wa michezo wa  Barea uliopo Mahamasina, Desemba 16, 2023. Kushoto ni mkewe Mama Mary Majaliwa.Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina akiwa na mkewe, Mialy Rajoelina, na watoto wao Arena na Ilonstoa Rajoelina (kulia) baada ya kuapishwa kuwa Rais wa nchi hiyo kwa kipindi cha tatu katika sherehe zilizofanyika kwenye uwanja wa michezo wa Barea uliopo Mahamasina,Rais wa Comoro, Azali Assoumani akisalimiana na Mke wa Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa katika sherehe za kumwapisha Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina zilizofanyika kwenye uwanja wa michezo wa Barea uliopo Mahamasina, leo. Kulia ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
More Stories
Ilemela yatenga milioni 920 kwa ajili ya mikopo ya vikundi
Tabora Network yawezesha vijana kiuchumi
Wanawake watakiwa kutochafuana kuelekea uchaguzi mkuu