Na Zuhura Zukheir, TimesMajira Online, Iringa.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amefika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea Ubunge katika Jimbo la Ismani mkoani Iringa.
Lukuvi aliwasili ofisi za chama hicho akiwa ameambatana na mkewe.

More Stories
Mbunge ahoji ukamilishwaji miundombinu Vituo vya afya
Mbogo aomba Tume kuchunguza madai ya waliokuwa wafanyakazi wa EAC
Dkt.Mabula aomba mabonde Ilemela yatumike kwa Kilimo cha umwagiliaji