Na Zuhura Zukheir, TimesMajira Online, Iringa.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amefika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea Ubunge katika Jimbo la Ismani mkoani Iringa.
Lukuvi aliwasili ofisi za chama hicho akiwa ameambatana na mkewe.
More Stories
Wanachi wahimizwa kusajili biashara,majina ya kampuni BRELA
Manispaa ya Shinyanga yaandikisha wanafunzi wa darasa la kwanza kwa 99%
Wananchi wapongeza huduma ya kliniki ya Sheria bila malipo