Na Zuhura Zukheir, TimesMajira Online, Iringa.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amefika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea Ubunge katika Jimbo la Ismani mkoani Iringa.
Lukuvi aliwasili ofisi za chama hicho akiwa ameambatana na mkewe.

More Stories
Wananchi waaswa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha Daftari la Mpiga Kura
Fedha za Mfuko wa Jimbo ziingizwe kwenye mfumo wa NeST
Jukwaa la usafiri Mtandaoni linavyotoa punguzo kwa abiria