Na Mwandishi wetu, TimesMajiraOnline
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amekutana na kufanya mazungumzo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambaye pia ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg. Kassim Majaliwa Majaliwa.
Mazungumzo hayo yamefanyika leo tarehe 18 Januari, 2022 katika Ofisi za CCM Makao Makuu Jijini Dodoma.
More Stories
TPA yatekeleza agizo la Samia korosho kupitia Bandari Mtwara
Mvutano vyama vya wafanyakazi kikwazo vikao baraza la wafanyakazi Wizara ya ardhi
NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika jijini Arusha