Na Mwandishi wetu, TimesMajiraOnline

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amekutana na kufanya mazungumzo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambaye pia ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg. Kassim Majaliwa Majaliwa.

Mazungumzo hayo yamefanyika leo tarehe 18 Januari, 2022 katika Ofisi za CCM Makao Makuu Jijini Dodoma.
More Stories
Waziri Simbachawene aongoza kikao cha Mawaziri
Makampuni Zaidi ya 11 ya Nchini Pakistani Kushiriki Maonesho ya 46 ya DITF(SabaSaba)
Taasisi ya Hopepluss yatoa msaada muhimbili kwa watoto wenye usonji