Na Mwandishi wetu,timesmajira Aliyekuwa Katibu wa Chama cha Wananchi CUF Wilaya ya Tandahimba Abasi Jogologo’ amekihama Chama hicho na kujiunga na ACT Wazalendo kwenye Mkutano wa Hadhara uliofanyika leo tarehe 11 Machi 2023 Tandahimba Mjini. Post Views: 629 Continue Reading Previous Mbunge Ilemela achangia milioni 4, kutatua changamoto ya maji Kangaye Next Simba yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya. More Stories Habari Osha yatajwa miongoni mwa Taasisi za Kimkakati nchini July 16, 2026 Penina Malundo Habari Yas yawekeza Sh trilioni 1.2 kuimarisha teknolojia ya afya July 16, 2026 Penina Malundo Habari Umoja wenye Malengo kukabili changamoto zinazoibuka SADC July 16, 2026 Penina Malundo
More Stories
Osha yatajwa miongoni mwa Taasisi za Kimkakati nchini
Yas yawekeza Sh trilioni 1.2 kuimarisha teknolojia ya afya
Umoja wenye Malengo kukabili changamoto zinazoibuka SADC