
Na Mwandishi wetu,Dar
Chama cha Mapinduzi (CCM), kupitia
Kamati Kuu, kimemteua, Emmanuela Mtafikolo, kuwa mgombea wa ubunge kwa tiketi ya chama hicho katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Isimani, lililoko Wilaya ya Iringa Vijijini.
Taarifa hiyo imetolewaAprili 29, 2026 na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) Itikadi, Uenezi na Mafunzo Kenani Kihongosi.
Uchaguzi huo unafanyika ili kujaza nafasi iliyoacha wazi baada ya aliyekuwa mbunge katika jimbo hilo William Lukuvi kufariki dunia.

More Stories
Serikali yaimarisha hatua za kudhibiti bei za Mafuta
Mtoto afariki kwa kusombwa na maji akivuka mto
Mradi wa maji Nkasi suluhisho la afya kwa jamii