Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid Gareth Bale hajatajwa kwenye kikosi cha Real Madrid kitakachocheza dhidi ya Manchester City hapo kesho kwenye michuano ya ligi ya mabingwa ulaya kwa msimu wa 2019/20.
Zidane aliwataja wahezaji 24 tu waliosafiri na timu huku akimuweka SergioRamos aliyepewa kadi nyekundu kwenye mchezowa 16 bora. James Rodriguez aliachwa na yeye bila sababu za msingi huku Mariano Diaz akibaki nyumbani baada ya kukutwa na maambukizi ya Corona.
HIKI HAPA KIKOSI CHA REAL MADRID KITAKACHO VAANA NA MANCHESTER CITY


More Stories
Hati ya makubaliano kuandaa AFCON 2027 yasainiwa
Rais Dkt.Samia akutana na Drogba
Samia atoa bil 20,waandaji maudhui wanufaika