bunge wa Malinyi Antipas Mgungusi (CCM) akiwa na Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa asubuhi ya Leo tarehe 15.04.2024,Bungeni akizungumza naye juu ya hali ya uharibifu wa miundombinu katika Jimbo la Malinyi kutokana na athari za Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha na Mto Furuwa.
More Stories
Wakulima wa Mwani Zanzibar kunufaika huduma za kidijitali
Makundi maalum Lindi waaswa kuchangamkia fursa
Kawaida: Ulinzi wa miundombinu usisubiri vyombo vya dola