bunge wa Malinyi Antipas Mgungusi (CCM) akiwa na Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa asubuhi ya Leo tarehe 15.04.2024,Bungeni akizungumza naye juu ya hali ya uharibifu wa miundombinu katika Jimbo la Malinyi kutokana na athari za Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha na Mto Furuwa.
More Stories
Halmashauri Nkasi yapongezwa kwa kupata hati safi
Kutofahamika kwa taasisi za uwezeshaji kiuchumi nchini chanzo Cha umasikini
Sh.1 bil ,kukarabati makazi ya wazee