September 21, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Dkt.Yonazi,Wataalam kuhuisha Mwongozo Sherehe za Kitaifa wateta

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi akifungua Kikao Kazi cha Kuhuisha Mwongozo wa Maadhimisho na Sherehe za Kitaifa wa Mwaka 2011 na Mwongozo wa Ziara za Viongozi wa Kitaifa Mikoani wa Mwaka 2011 kilichofanyika tarehe 26 Februari, 2024 Jijini Dodoma

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao hicho, amewakumbusha kuzingatia ufanisi na weledi huku wakizingatia kanuni na taratibu za utumishi katika kuandaa miogozo hiyo.