Dkt. Faustine Ndugulile, amechaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika katika uchaguzi uliofanyika leo Jumanne, tarehe 27 Agosti 2024 mjini Brazzaville, Jamhuri ya Congo. Dkt. Ndugulile amewashinda wagombea wengine watatu kutoka Senegal, Niger na Rwanda.
More Stories
Wasira ‘aipiga nyundo ‘No reform no election
Tabora wapongeza uimara wa CCM
CCM yahimiza uadilifu kwa watumishi manispaa Tabora