Dkt. Faustine Ndugulile, amechaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika katika uchaguzi uliofanyika leo Jumanne, tarehe 27 Agosti 2024 mjini Brazzaville, Jamhuri ya Congo. Dkt. Ndugulile amewashinda wagombea wengine watatu kutoka Senegal, Niger na Rwanda.
More Stories
Wananchi Vunjo watatua kero ya barabara,wataka zahanati yao
PPRA yawanoa watumishi upekuzi wa mikataba na majadiliano NeST
Lukuvi alitaka Baraza Ofisi ya Waziri Mkuu kuelimisha watumishi wengine