Dkt. Faustine Ndugulile, amechaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika katika uchaguzi uliofanyika leo Jumanne, tarehe 27 Agosti 2024 mjini Brazzaville, Jamhuri ya Congo. Dkt. Ndugulile amewashinda wagombea wengine watatu kutoka Senegal, Niger na Rwanda.
More Stories
Wanawake vyama 12 waiomba Serikali iunde Tume ya uchunguzi wa utekaji
Taasisi ya OSHA yapata Bodi mpya
Rafiki wa Binti wafanya kweli Afya ya Hedhi