Dkt. Faustine Ndugulile, amechaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika katika uchaguzi uliofanyika leo Jumanne, tarehe 27 Agosti 2024 mjini Brazzaville, Jamhuri ya Congo. Dkt. Ndugulile amewashinda wagombea wengine watatu kutoka Senegal, Niger na Rwanda.
More Stories
Chatanda ahamasisha utekelezaji wa Ilani ya CCM 2025–2030
Mikopo asilimia 10 yainua wanawake Tunduma kibiashara
UDSM yabuni bidhaa kwa nazao ya nyuki