Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango leo tarehe 4 Februari 2022 ameondoka nchini kuelekea Addis Ababa nchini Ethiopia kumuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa 35 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) unaotarajiwa kufanyika tarehe 5 na 6 Februari 2022.
More Stories
Samia avunja rekodi vita dawa za kulevya
Dkt.Gwajima aomba bilioni 67.9 bajeti ya Wizara yake 2024/25
Uwepo wa Kimbunga “IALY” katika bahari ya Hindi Kaskazini Mwadagascar