Na Zuhura Zukheir, TimesMajira Online, Dar es Salaam
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mafinga, Cosato Chumi amefika katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi, Wilaya ya Mufindi kuchukua fomu ya kuomba ridhaa kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la Mafinga kupitia chama hicho.
Chumi anachukua fomu ya kugombea ubunge katika jimbo hilo kutetea kiti cha ubunge.
More Stories
Wanachi wahimizwa kusajili biashara,majina ya kampuni BRELA
Manispaa ya Shinyanga yaandikisha wanafunzi wa darasa la kwanza kwa 99%
Wananchi wapongeza huduma ya kliniki ya Sheria bila malipo