Na Zuhura Zukheir, TimesMajira Online, Dar es Salaam
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mafinga, Cosato Chumi amefika katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi, Wilaya ya Mufindi kuchukua fomu ya kuomba ridhaa kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la Mafinga kupitia chama hicho.
Chumi anachukua fomu ya kugombea ubunge katika jimbo hilo kutetea kiti cha ubunge.
More Stories
Mbunge ahoji ukamilishwaji miundombinu Vituo vya afya
Mbogo aomba Tume kuchunguza madai ya waliokuwa wafanyakazi wa EAC
Dkt.Mabula aomba mabonde Ilemela yatumike kwa Kilimo cha umwagiliaji