Na Zuhura Zukheir, TimesMajira Online, Dar es Salaam
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mafinga, Cosato Chumi amefika katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi, Wilaya ya Mufindi kuchukua fomu ya kuomba ridhaa kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la Mafinga kupitia chama hicho.
Chumi anachukua fomu ya kugombea ubunge katika jimbo hilo kutetea kiti cha ubunge.
More Stories
RUWASA yaagizwa kufanya utafiti kutoa maji Kinyamwenda kwenda Gairu
RMO,DMO waagizwa kumsimamia Mkurugenzi ununuzi vifaa ,vifaa tiba
Mbunge ahoji ukarabati wa shule kongwe