Na Zuhura Zukheir, TimesMajira Online, Dar es Salaam
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mafinga, Cosato Chumi amefika katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi, Wilaya ya Mufindi kuchukua fomu ya kuomba ridhaa kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la Mafinga kupitia chama hicho.
Chumi anachukua fomu ya kugombea ubunge katika jimbo hilo kutetea kiti cha ubunge.
More Stories
‎Ungele:Mageuzi ya Wizara ya Afya ni ya kihistoria
Serikali Yatoa Majibu Kuhusu Upatikanaji wa Umeme Vitongoji vya Jimbo la Mwibara
Serikali yawahakikishia upatikanaji Umeme Wakazi wa Kitongoji cha Orera – Moshi Vijijini