Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imepitisha jina la Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Tulia Ackson kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Post Views: 1,833 Continue Reading Previous Prof.Mdoe ahimiza kupelekwa shule Watoto wenye ulemavuNext Mhandisi Mahundi: Serikali kuanza kuchukua hatua waharibifu vyanzo vya maji nchini More Stories Habari T-CAMS yaleta mapinduzi sekta ya uwakala wa forodha August 7, 2026 Penina Malundo Habari Mafuta ya zabibu yavutia Nanenane August 7, 2026 Judith Ferdnand Habari Mikoani Nanauka apongeza Kariakoo Kwa kuwezesha vijana Kibiashara August 7, 2026 joyce kasiki
More Stories
T-CAMS yaleta mapinduzi sekta ya uwakala wa forodha
Mafuta ya zabibu yavutia Nanenane
Nanauka apongeza Kariakoo Kwa kuwezesha vijana Kibiashara