Juma la Pili la Maonesho ya Kimataifa ya 48 ya Biashara, Mratibu wa Masoko, Chuo cha Elimu ya Biasha (CBE) Bi. Lilian Mashalo akiongea na baadhi ya wananchi waliotembelea banda la Chuo leo Julai 08, 2024 kwa ajili ya kupata taarifa zaidi kuhusu huduma zinazotolewa na Chuo hicho.
More Stories
VETA yaweka mkakati kufikia Dira ya Taifa 2050
Kunenge:siamini katika kushindwa
Msai awataka wazazi kuchangia chakula kuwaepusha na ukatili