Na Mwandishi wetu,Timesmajira Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ameagiza kuundwa kwa tume maalum ya wataalamu kuchunguza kwa kina...
Habari
Na Mwandishi Wetu,Timesmajira Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imesema utekelezaji wa mfumo wa ithibati kwa waandishi na...
📌Itakuwa kituo cha kupokea na kupoza umeme chenye uwezo wa MVA 60. 📌Bilioni 44 zatumika. Na Mwandishi wetu,Timesmajira Waziri Mkuu...
Mwandishi Wetu, Timesmajira Online-Dar SERIKALI imesema imejipanga kikamilifu kutumia teknolojia ya Akili Mnemba (AI) ili kuongeza ufanisi, kasi na ubora...
Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online-Mwanza JUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mwanza, imehimizwa umuhimu wa malezi...
Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online-Igunga SIKU 100 baada ya kuingia madarakani kwa awamu ya pili, Rais wa Jamhuri ya Muungano...
Na Israel Mwaisaka, Timesmajira Online-Nkasi‎‎Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilayani Nkasi mkoani Rukwa, limewachukulia hatua za kinidhamu watumishi wawili...
Na Penina Malundo,Timesmajira Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari ametoa wito kwa wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam kujitokeza...
Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online-Mwanza Mkoa wa Mwanza unatarajia kuadhimisha siku ya wanamke duniani kimkoa wilayani Ilemela katika uwanja wa...
Na Martha Fatael, TimesMajira Online Licha ya Mlima Kilimanjaro kulindwa na sheria mbalimbali za mazingira, wataalamu wa uhifadhi, viongozi wa...
