Na Mwandishi Wetu, TimesMajira,Online Mbeya
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mbeya imemuachia huru kada wa CHADEMA, Mdude Nyagali aliyekuwa akishtakiwa kwa kukutwa na dawa za kulevya.
Mdudu ameachiwa na Mahakama hiyo leo baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuwasilisha ushahidi wa kuweza kumtia hatiani.
More Stories
Breaking News: Rais Samia afanya uteuzi
Breaking News: Makalla achukua mikoba ya Makonda
Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha