Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online, Morogoro
ALIYEKUWA Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini (TEF) Deodatus Balile, ameshinda nafasi hiyo dhidi ya mpinzani wake Nevile Meena, katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika leo.
Balile ampata kura 57 na Meena kura 22 ambapo idadi ya wapiga kura ilikuwa 79 katika uchaguzi unaofanyika mkoani Morogoro, katika Ukumbi wa Nashera.
More Stories
Waziri Silaa ashiriki kupandisha vifaa ujenzi wa Mnara wa mawasiliano Idete
Waziri Silaa aelekeza Minara yote 758 kuwashwa ifikapo Mei 12,2025
Wananchi Vunjo watatua kero ya barabara,wataka zahanati yao