Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online, Morogoro
ALIYEKUWA Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini (TEF) Deodatus Balile, ameshinda nafasi hiyo dhidi ya mpinzani wake Nevile Meena, katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika leo.
Balile ampata kura 57 na Meena kura 22 ambapo idadi ya wapiga kura ilikuwa 79 katika uchaguzi unaofanyika mkoani Morogoro, katika Ukumbi wa Nashera.
More Stories
Shekhe Mavumbi ahamasisha waislamu kupiga kura
Naibu Waziri Nderiananga awasilisha salamu za pole msiba wa mdogo wake Lukuvi
Kiongozi wa Mwenge apongeza wananchi kupelekewa huduma ya maji Handeni