Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akiongoza kikao kazi ngazi ya Mawaziri kuhusu uendelezaji wa Bandari nchini.
Kikao kazi hicho kimefanyika tarehe 7 Machi, 2024 katika ofisi ndogo ya Wizara ya Nishati jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Mawaziri wa Kisekta, Makatibu Wakuu, Naibu Makatibu Wakuu na Wakurugenzi wa Taasisi kutoka Sekta husika.





More Stories
Viongozi wataka Vijana waongeze ushiriki katika Ubunifu wa Kidijitali Afrika
Serikali yajidhatiti uwezeshaji wanawake kiuchumi
OUT Yaweka Ubunifu Msingi wa Elimu Huria Mtandaoni