Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akiongoza kikao kazi ngazi ya Mawaziri kuhusu uendelezaji wa Bandari nchini.
Kikao kazi hicho kimefanyika tarehe 7 Machi, 2024 katika ofisi ndogo ya Wizara ya Nishati jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Mawaziri wa Kisekta, Makatibu Wakuu, Naibu Makatibu Wakuu na Wakurugenzi wa Taasisi kutoka Sekta husika.




More Stories
Kapinga :Serikali inaendelea na ukarabati wa miundombinu ya umeme
Majiko ya umeme mbolea mpya kwa maendeleo, uhifadhi mazingira
Dkt.Biteko:Wananchi someni taarifa za nishati kutoka EWURA